RDC: La marche des fidèles sévèrement réprimée – Voxafrica – Video


Wengi hawakutuamini wakati tuliwakataza kuenda kuchagua wagenyi ku miaka 2006 na 2011. Tshisekedi naye, alidanganyika sana, akifikili kushinda ule adui kwa nguvu yake pekee, bila matayarisho ya kanuni. Leo, inaonekana wazi ya kwamba, bila msaada ya wakongomani yote, atashindwa kabisa.
Leo vile vile, ku inchi yetu ya Kongo, mukongomani anazidi kupigwa, kulumizwa, kuuwa na wapolisi pamoja na waaskari.
Kesho, wengi watakuuwa tena na bunduki, wakipigwa ao na sumu. Tusipokataa kuzidi kutumikia Yusufu Hypolite Kanambe, hakutakuwa kimia hata siku moja ku inchi yetu ya Kongo.
Kwa mapenzi ya Bwana, wakristu wameisha nao kulamuka.
Kanambe na watumwa yake, badae, watashindwa. Alakini mbele ya Kanambe kushindwa, wakongomani wengi watakufa tena ; kwani, hawakupenda wala wengine hawajapenda kusikia sauti ya wapelelezi ya Mungu !
http://www.voxafrica.com/vod/videos/?v=0_dq1z580w

Avatar de Inconnu

Auteur : Graphèle Paluku Atoka Uwekomu

I am involved in the personal and holistic development of each of my fellow citizens, and in the community, national and global development in a democratic, christian, and capitalist way. Je suis impliqué dans le développement personnel et holistique de chacun de mes concitoyens ; et, dans le développement communautaire, national et global dans une vision démocratique, chrétienne et capitaliste. Ik ben betrokken bij de persoonlijke en holistische ontwikkeling van elk van mijn medeburgers; en in de gemeenschap, de nationale en mondiale ontwikkeling in een democratische, christelijke en kapitalistische visie.

Laisser un commentaire

Ce site utilise Akismet pour réduire les indésirables. En savoir plus sur la façon dont les données de vos commentaires sont traitées.