Mungu aliwekaka manabi na wa juji.
Waisraeli waliomba wafalme kufatana na kabila ingine, japo Mungu hakupenda.
Sisi wakongomani, tunafuata upumbafu ya waisraeli.
Tutateswa, kama waisraeli ; kwani hatuti Mungu.
Yehova atatuchagulia nani na kwa nini, sisi watoto tusiyomuti ?
Hatuyatubu zambi zetu, dada.
