Tutateswa, kama waisraeli…


Mungu aliwekaka manabi na wa juji.


Waisraeli waliomba wafalme kufatana na kabila ingine, japo Mungu hakupenda.


Sisi wakongomani, tunafuata upumbafu ya waisraeli.
Tutateswa, kama waisraeli ; kwani hatuti Mungu.


Yehova atatuchagulia nani na kwa nini, sisi watoto tusiyomuti ?


Hatuyatubu zambi zetu, dada.